021 1. 2. Muda: Saa 3 3. 4 5 6. 30102i 10Q13 JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA BARAZA LA MITIHANI LA TANZANIA MTIHANI WA KUHITIMU KIDAT0 CHA NNE KISWAHILI (Kwa watahiniwa Walioko na Wasiokuwa Shuleni) Maelekezo Karatasi hii ina sehemu A, B na C zenye jumla ya maswali kumi na moja (11). Mwaka: 2023 Jibu maswali yote katika sehemu A na B, na maswali mawili (2) kutoka sehemu C ambapo swali la tisa (9) ni la lazima. Sehemu A ina alama kumi na sita (16), sehemu B alama hamsini na nne (54) na sehemu C ina alama thelathini (30). Zingatia maclekezo ya kila sehemu na ya kila swali. Vifaa vya mawasiliano na vitu visivyoruhusiwa havitakiwi katika chumba cha mtihani. Andika Namba yako ya Mtihani katika kila ukurasa wa kijitabu chako cha kujibia. Ukurasa wa l kati ya 7 cSee2022
1. Katika kipengele (i) - (x). chagua jibu sahihi kisha andika herufi ya jibu hilo kwenye kijitabu chako cha kujibia. (i) Katika masimulizi ya hadithi, maana sahihi ya soga ni ipi? A B Hadithi zinazohusu binadamu na wanyama. D C Hadithi fupi za kuchekesha na kukejeli. E A B E (i1) Kati ya methali zifuatazo, ipi ina maana tofauti na zingine? Hadithi ndefu zinazohusu binadamu. Hadithi fupi zinazoelezea makosa au uovu. Hadithi ndefu za kubuni na zinazochekesha. (ii) Kiangazi kiliunguza kikaunguza A Hatimaye, mwaka elfu moja mia tisa hamsini na sita mvua zikaanza ijapokuwa kwa maringo." Usimulizi huu ni aina gani ya hadithi? A Visasili Ujanja mwingi mbele giza. Akili nyingi huondoa maarifa. Mdharau biu huibuka yeye. Ukupigao ndio ukufunzao. C Soga Mdharau mwiba, mguu huota tende. E Tarihi A SEHEMU A (Alama 16) Jibu maswali yote katika sehemu hii. (iv) Papai limeiva nyumbani lakini nashindwa kulila." Kauli hii inawakilisha aina gani ya semi? C Nahau E Misemo Methali huitwaje? A C () Mbinu ya kufupisha maneno katika ushairi ili kupata ulinganifu wa mizani C Inkisari Tasfida E Inkishafi ipi ya uandishi kati ya hizi? Mkato B Vigano D Ngano Nukta (vi) Ubainishaji wa maneno ya kuzua au yasiyo rasmi katika lugha huhusisha alama E Mtajo B Mizungu D Kitendawili B Tathilitha D Ufupisho Nukta-pacha D Nukta-mkato B Ukurasa wa 2 kati ya 7 csee202
2. (vii) Kati ya maneno yafuatayo, neno lipi haliundwi kwa mbinu ya mwambatano? A C Jotoridi E Deltao Batamzinga A Ua (vii) Maneno yafuatayo yana maana zaidi ya moja isipokuwa C Kata A Paa A (ix) Katika neno 'umempelekea' mofimu ipi inawakilisha kauli ya kutendea? E -a C me E -m gani? Kaskazini mwa Tanga Kisiwa cha Mafia Sehemu ya Malindi (x) Kulingana na chimbuko la Kiswahili, lahaja ya Kijomvu ilizungumzwa maeneo Barabara B D Chajio Orodha A (iii) Bwana Musa anaendesha. B Mbuzi mpya. D Nyau (v) Mama Halima amek uja. B D B D Oanisha tungo tata zilizopo katika Orodha A na chanzo cha utata huo kutoka Orodha B kisha andika herufi ya jibu sahihi katika kijitabu chako cha kujibia. (iv) Aliamua kumkimbilia siku ya mwaka -e -pelek (i) Nilipofika nyumbani nilimkuta hayup0. (ii) Juma alikimbizwa hospitalini. l(vi) Alikuwa na vitu vya dhamani nyingi. Kusini mwa Somalia Kisiwa cha Pemba A B C E F D Kutozingatia alama za uandishi. SEHEMUB (Alama 54) Tafsiri ya neno kwa neno. Orodha B Kutozingatia mantiki. 3. (a) Andika sentensi zifuatazo katika hali timilifu. (i) Petro hatawatembelea wazee wake likizo hii. (ii) Mimi ninamshinda Rashidi kwa mbio. (i) Wewe ni abiria lakini lazima ulipe nauli. Kutumia mofimu ya kauli ya utendea. Kutozingatia matamshi sahihi. G Kutozingatia muktadha. Kutumia mofimu ya kauli ya kutendeka. Jibu maswali yote katika sehemu hi. Ukurasa wa 3 kati ya 7 seez028
4. 5. 6 7. (iv) Mchezaji anarusha mpira. (v) Mwalimu anafundisha somo la Kiswahili. (b) Bainisha njeo sahihi katika tungo zifuatazo: () Asha anafagia jikoni. Mwalimu atatufundisha kuimba. (iii) John alikuwa amefika stendi. (iv) Watoto wake watamlilia sana. (v) Hapo nitakuwa nimeondoka. (i) (vi) Timu yetu ilicheza vizuri sana. (vii) Askari wanalinda raia. (viii) Watoto walikuwa wamemfurahisha. (a) Eleza dhima tano za uambishaji katika lugha ya Kiswahili. (b) Bainisha mzizi katika maneno yafuatayo: (i) (ii) Mwokozi Matendo (iii) Mlaji (iv) Uonevu (a) Andika visawe vya maneno yafuatayo kisha tunga sentensi moja kwa kila kisawe. (i) Majaliwa (ii) Sahihi (ii) Sifuri (iv) Chuchumaa (v) Choo () (b) Eleza maana ya msingi na ya ziada kwa maneno yafuatayo: Mchumi (i) Husudu (iii) Kichaa (iv) Mchafu Kwa kutumia hoja sita, eleza kwa mifano namna lugha ya Kiswahili na Kibantu vinavyoshabihiana. Andika insha yenye maneno yasiyopungua mia mbili (200) na yasiyozidi mia mbili hamsini (250) kuhusu "Umuhimu wa lishe bora kwa watoto." Ukurasa wa 4 kati ya 7 csee2022
8. Soma kwa umakini kifungu cha habari kifuatacho kisha jibu maswali yanayofuata. Mchezo wa jana wa mpira wa miguu ulikuwa patashika nguo kuchanika. Katika kutupia macho wachezaji wa Tunisia, ni dhahiri kuwa mtazamaji yeyote angeweza kutabiri kuwa wachezaji gani wangejipatia ushindi. Wachezaji wa Tunisia walionekana kuwa majitu ya miraba minne na hivyo kutabiriwa kuwa washindi wa mchezo huo. Kwa siku za nyuma, wachezaji wa timu ya Tanzania waliweza kwenda sare na timu ya Tunisia kwa kipindi chote cha mchezo na pengine havwakuweza kupata ushindi kabisa. Kutokana na hilo, hofu kubwa ilitanda miongoni mwa Watanzania kwani siku hiyo huenda historia ikajirudia ya kufungwa au kutoka sare. Kipenga kilipolia wachezaji wa pande zote mbili walijitupa uwanjani wakionesha utanashati na manjonjo mengi huku wakipiga mazoezi ya hapa na pale. Watu walipowashangilia kwa hoi hoi na vitijo waliongeza madaha yao. Haukupita muda mrefu walitengana na kila mmoja alikwenda katika sehemu yake na mara kipenga cha kuashiria mpira kuanza kikapigwa. Naam, ilianza vuta nikuvute, kila mmoja akiwania kuanza kuufumania mlango wa mpinzan1 wake. Kukuru kakara hiyo iliendelea hadi mwisho wa kipindi cha kwanza ambapo hakuna aliyefanikiwa kugusa nyavu za mwenzie. Kwa kipindi hiki chote timu ya Tanzania ilionekana kupiga moyo konde na kuwania ushindi. Wachezaji wa Tunisia nao waliapa kutoshindwa kuwatoa Watanzania kama walivyotazamia. Kipindi cha pili kilianza kwa kila mehezaji kujihami dhidi ya adui yake ili mradi kila mmoja apate nafasi ya kuutundika mpira wavuni. Hata hivyo wachezaji wengi wa pande zote walionekana kulowa kwa kutoelewa nini kitatokea mbele yao baada ya dakika arobaini na tano zilizofuatia. Muda mfupi baada ya kipindi cha pili kuanza, timu ya Tunisia iliona lango la timu ya Tanzania na kujiandikia bao la kwanza. Uwanja mzima ulipooza kwa upande wa Watanzania lakini Watunisia walionekana kufunguka nyuso zao kwa bashasha. Waswahili wanasema, "Mungu si Athumani." Hivyo, ilipotimia dakika ya themanini va mchezo, Mohamedi Kajole alipata nafasi nzuri, akautoma mkwaju mkali kinywani mwa lango la Tunisia na kuiandikia timu ya Tanzania goli la kusawazisha. Nderemo. shangwe, vifijo na vigelegele vilitawala uwanjani kwa kuwa Kajole aliwatoa Watanzania aibu katika kiwanja cha nyumbani. Mchezo ulikuwa kama umepata mvuto na ari mpya kwa wachezaji wa Tanzanja ambao walionekana kuwa na kasi kubwa katika kupasiana mpira. Wachezaji wa Tunisia walianza kuhangaika uwanjani wakijua kuwa ushindi karibu utatoweka mikononi san Mashabiki wa Tanzania nao walishika kasi katika kushangilia timu yao. Harakati hizo zilizaa matunda katika dakika ya themanini na tisa pale Kassim Kanombe alipoipatia timu yake ya Tanzania goli la ushindi. Vifijo. hoi hoi na shangwe zilitawala uwanjani kwa upande wa Watanzania. Lakini mambo havakuwa mazuri kwa upande wa timu ya Tunisia kwani walichokitegemea hawakukipata. Hadi mwisho wa Ukurasa wa 5 kati ya 7 csee2023
9 mchezo huu, Tanzania ilibuka kidedea kwa mabao mawili dhidi ya bao moja la Tunisia. Maswali (a) (b) (c) (d) Pendekeza kichwa kifaacho kwa habari uliyosoma. Eleza mawazo waliyokuwa nayo watazamaji wengi kabla ya kuanza kwa mpira. Eleza maana ya misemo ifuatayo kama ilivyotumika katika kifungu cha habari. (i) (ii) Walipiga moyo konde. (iii) Mungu si Athumani. (iv) Waliibuka kidedea. (v) Walishika kasi. Watunisia walikuwa na hali gani baada ya kufungwa goli la pilr? Patashika nguo kuchanika. (e) Fupisha habari hii kwa maneno yasiyopungua mia moja (100) na yasiyozidi mia na tano (105). Jibu maswali mawili (2) kutoka sehemu hii. Swali la tisa (9) ni la lazima. USHAIRI Wasakatonge Malenga Wapya Mashairi ya Chekacheka RIWAYA Takadini SEHEMU C (Alama 30) Watoto wa Mama N'tilie Joka la Mdimu TAMTHILIYA Orodha ORODHA YA VITABU Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe Kilio Chetu M.S. Khatibu (DUP) TAKILUKI (DUP) T.A. Mvungi (EP & D. LTD) Ben J. Hanson (MBS) E. Mbogo (H.P) A.J. Safari (H. P) Steve Reynolds (MA) E. Semzaba (ESC) Medical Aid Foundation (TPH) ugha ni nyenzo muhimu katika kutoa mafunzo kwa jamii" Thibitisha ukweli wa Lok bi; kwa kutumia vipengele vitatu vya lugha kwa kila kitabu kutoka katika diwant mbili ulizosoma. Ukurasa wa 6 kati ya 7 see2023
10. "Mhusika hawezi kuwa kamili katika kazi ya fasihi bila kubeba kikamilifu mawazo ya mwandishi." Chagua mhusika mmoja kwa kila kitabu, kisha onesha namna kila mmoja alivyowasilisha mawazo matatu ya mwandishi kutoka katika riwaya mbili ulizosoma. "Mara zote wasanii wa tamthiliya huonesha mikakati ya kupambana na changamoto zilizopo katika jami." Onesha mikakati mitatu iliyotolewa na wasani kwa kila kitabu kutoka katika tamthiliya mbili ulizosoma. Ukurasa wa 7 kati ya 7 csee2p22