
SEHEl\IU A (Alama 15)
Jibu maswali yote katika sehemu hii.
I. Chagua herufi ya jibu sahihi katika vipengele (i) hadi (x), kisha andika herufi ya jibu hilo
kwcnye kijitabu chako cha kujibia.
(i) --Kushindana na mtu aliyekuzidi kwa kila hali si busara." Mcthali zifuatazo
zinashabihisha kauli hii isipokuwa:
A Mwenye pesa si mwenzio B Nazi haishindani na jiwe
C Chanda chema, huvikwa pete D Mwenye nguvu mpishe
E Maji yakija kasi yapishe.
( ii ) Neno linaloingizwa katika kamusi kwa win o uli okolczwa. fasili, rnatamshi na aina ya
neno hilo kwa pamoja huitwaje?
A Kidahi zo B Kat egoria
C Fasil i D Istilahi
E Kitomeo.
(iii) Kikundi cha maneno kinachoonesha jambo lililotendwa na mtenda katika se ntensi
hujulikanaje?
A Chagizo B Kitenzi
C Ki v umi s hi D Shmnirisho
E Nomino.
(iv) Bainisha sentcnsi yenye vielezi zaidi ya kimoja katika sentensi zi fuatazo:
(v)
(vi)
A Vitabu vyangu vyote vimeibiwa na watoto wako.
B Mbuzi a li yepotea jana ameonekana leo asubuhi.
C Shule ngapi zi naweza kushiriki ma shindano?
D \Vengi walikuwa wanataka kwenda masomoni.
E Wanakijiji hawa wamefanya uchaguzi kwa amani.
Pande mbili zinazohusika katika lugha ya maandishi ni zipi ?
A Mwandishi na msikilizaji B Msikilizaji na msomaji
C Mwandishi na mzungumza_1·i D Mso .. ·
.., · maJ1 na ms1muliaji
E Msomaji na mwandishi.
Dhim ,~ ya vigelege le katika utendekaji wa sanaa z h . . .
. . . . . ' ' a maones o 111
1
p
1
?
A Ku,shmk,sha na ku1ondolea hadhira udhia k ...
B
H
. . . • wa um s 1k1hza mtu mmoja
aJ hJra kukata shaun JULI ya mwendo wa k . ·
C
- , , . , , . -. az, ya sanaa za maonesho.
Kuwcka ctla111,1 za llldpio-o ya kimuziki k t·k k .
b - a I a az, ya sa naa , ·h
D Kuonesha upeo W' l furaha nab d . za maonc s o.
' • ' ' uru ant ya kazi ya san , -
E Kuonesha mbwembwe katika kazi .. . aa za maone sh o.
ya sanaa za maone s ho .
. -, '
likurasa wa 2 kat i \ a
1
-6