Mtihani huu na mitihani mingine inapatikana kwenye tovuti yetu: http://maktaba.tetea.org
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL
CERTIFICATE OF SECONDARY EDUCATION EXAMINATION
021 KISWAHILI
(Kwa Watahiniwa walioko Shuleni tu)
Muda: Saa 3 Jumanne, 5 Oktoba 2010 mchana
Maelekezo
1. Karatasi hii ina sehemu A, B, C, D na E.
2. Jibu maswali yote katika sehemu A, B na D, swali moja (1)kutoka sehemu C na maswali matatu
(3) kutoka sehemu E. Swali la 15ni la lazima.
3. Zingatia maagizo ya kila sehemu na ya kila swali.
4. Simu za mkononi haziruhusiwi katika chumba cha mtihani.
5. Vikokotozi haviruhusiwi ndani ya chumba cha mtihani.
6. Andika Namba yako ya Mtihani katika kila ukurasa wa kijitabu chako cha kujibia.
Karatasi hii ina kurasa 5 zenye maandishi.